Haber Giriş:
Waziri Mkuu wa Cyprus apokelewa Uturuki

Mazungumzo kati ya Cyprus na Uturuki
Makamu wa Rais wa Uturuki Fuat Oktay alimpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Uturuki ya Kupro ya Kaskazini (TRNC) Ersan Saner.
Baada ya mkutano wa pande mbili kati ya Oktay na Saner katika Ikulu ya Rais, mkutano kati ya wajumbe ulianza.
-
19.04.2021
-
19.04.2021
-
18.04.2021
-
18.04.2021