Haber Giriş:
Wavuvi wa Kipalestina wauawa kwa kombora Gaza

Haijulikani kombora lilirushwa kutoka wapi
Wavuvi watatu wa Kipalestina wamepoteza maisha kwa sababu ya makombora kuanguka katika Ukanda wa Gaza, ambao upo chini ya utawala wa Israel.
Mkuu wa Jumuiya ya Wavuvi wa Palestina, Nizar Ayyaş, amesema kuwa kombora liligonga boti la uvuvi kutoka sehemu ya kusini ya Gaza.
Akisema kuwa wavuvi 3 wa Kipalestina waliokuwa kwenye mashua walipoteza maisha, Ayyaş alibaini kuwa bado hawajui kombo...
-
22.04.2021
-
22.04.2021
-
22.04.2021
-
22.04.2021