Haber Giriş:
UN yatangaza msaada kwa ajili ya Somalia

Umoja wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa dola bilioni 1 zinahitajika kupeleka misaada kwa Wasomali milioni 5.9 mwaka huu.
Umoja wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa dola bilioni 1 zinahitajika kupeleka misaada kwa Wasomali milioni 5.9 mwaka huu.
Katika taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA), ilielezwa kuwa watu milioni 2.7 nchini Somalia wapo kwenye hatari ya njaa kutokana na sababu kama vile mafuriko, uvamizi wa nzige, ukame na janga la corona.
Katika taarifa ...
-
03.03.2021
-
03.03.2021
-
03.03.2021