Haber Giriş:
Twitter yatozwa faini na serikali ya Urusi

Mahakama ya Moscow yaitoza faini Twitter kwa madai ya ukiukaji wa sheria
Mahakama ya mji mkuu wa Moscow nchini Urusi, imeitoza Twitter faini ya fedha ruble milioni 3.2 kwa ukiukaji wa kiutawala.
Kesi iliyowasilishwa na Idara ya Teknolojia ya Habari ya Serikali ya Urusi na Mamlaka ya Usimamizi wa Mawasiliano ya Umma (Roskomnadzor) dhidi ya Twitter ilisikilizwa katika Mahakama ya Taganskiy mjini Moscow.
Mahakama iliamua kuwa kampuni ya Twitter haikutii sheria kw...
-
12.04.2021
-
12.04.2021
-
12.04.2021