Haber Giriş:
Tishio la China kwa Marekani

Marekani na China
Ikizingatia China kama mpinzani muhimu wa kimkakati, Marekani inajua kuwa ukubwa wake wa kinguvu unakabiliwa na changamoto inayolenga ya China. Walakini, kuna maswali muhimu juu ya jinsi mkakati wa "Asia pivot", ambao ulianzishwa katika kipindi cha Obama na kuanza kutumika ili kusawazisha China utakavyotekelezwa. Inaeleweka kuwa utawala wa Biden unaendelea kuizuia China na kuiona kama mlengwa w...
-
13.04.2021
-
13.04.2021
-
13.04.2021