Haber Giriş:
Taliban yatuhumiwa kwa mauaji ya waandishi wa habari wa kike

Serikali ya Afghanistan yashutumu Taliban kwa vifo vya wafanyikazi 3 wa kike wa kituo cha runinga
Serikali ya Afghanistan iliishutumu Taliban kwa vifo vya wafanyikazi 3 wa kike wa kituo cha kibinafsi cha runinga vilivyotokea katika mkoa wa Nangarhar hapo jana.
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani alisema katika taarifa yake kwamba Taliban wanajaribu kuunda mazingira ya ukatili kwa kufanya mashambulizi kama haya na kuzima sauti ambazo zinapazwa kutetea jamhuri.
Maafisa wa polisi wa Nangarh...
-
14.04.2021
-
14.04.2021
-
14.04.2021