Haber Giriş:
Spurs wawashinda Lakers kwenye NBA
Mabingwa watetezi wa NBA Los Angeles Lakers washindwa na San Antonio Spurs kwenye NBA
Timu ya Los Angeles Lakers ilishindwa 118-109 na timu ya San Antonio Spurs kwenye mechi ya ligi ya mpira wa kikapu ya NBA nchini Marekani.
Ligi hiyo ya NBA iliendelea na mechi 5 zilizochezwa usiku wa jana.
San Antonio Spurs ilifanikiwa kuishinda Los Angeles Lakers ambao ndio mabingwa wa mwisho wa NBA, waliokuwa wameshinda mechi 4 mfululizo.
Katika timu ya Spurs, LaMarcus Aldridge ndiye...
-
16.01.2021
-
16.01.2021
-
16.01.2021