Haber Giriş:
Mvutano kwenye maandamano Uingereza

Wananchi wa Uingereza waandamana kupinga sheria inyaowapa polisi mamlaka zaidi ya makabiliano
Mvutano mkubwa ulizuka kati ya polisi na wanaharakati wakati wa maandamano dhidi ya rasimu ya sheria ambayo iliwapa polisi mamlaka zaidi ya kuingilia kati maandamano katika mji mkuu wa London nchini Uingereza.
Maelfu ya waandamanaji kutoka vikundi tofauti walikusanyika eneo la Hyde Park kupinga muswada huo na wakaandamana hadi Uwanja wa Bunge.
Waandamanaji hao, wakiwa wamebeba mabango yal...
-
13.04.2021
-
13.04.2021
-
13.04.2021