Haber Giriş:
Mashambulizi ya silaha nchini Marekani

Watu 7 washambuliwa kwa silaha na kufyatuliwa risasi katika mji wa Chicago
Watu 5 kati ya 7 waliofyatuliwa risasi na mshambuliaji mmoja katika mji wa Chicago nchini Marekani wameripotiwa kupoteza maisha.
Polisi wa Chicago wallitoa maelezo na kufahamisha kwamba wahanga 7 walishambuliwa na kufyatuliwa risasi na mshambuliaji aliyetambulika kwa jina la Jason Nightengale nyakati tofauti za siku, ambapo watu 5 kati yao wamefariki.
Miongoni mwa wahanga hao waliofariki,...
-
16.01.2021
-
16.01.2021
-
16.01.2021