Haber Giriş:
Leo Katika Magazeti ya Uturuki

Mukhtasari wa Magazeti ya Uturuki 04.03.2021
Habari Türk: "Çavuşoğlu: Tunaweza kujadili mamlaka ya bahari na Misri"
Waziri wa Mambo ya nje Mevlüt Çavuşoğlu alisema kuwa kulingana na mwendo wa uhusiano kuhusu mamlaka ya baharini katika Mashariki ya Mediterania, mazungumzo yanaweza kufanywa na Misri. Waziri Çavuşoğlu alisema, "Tunaweza kutia saini makubaliano kati yetu baadaye."
Vatan: "Fuat Oktay: Tunatuma chanjo elfu 20 z...
-
11.04.2021
-
10.04.2021
-
10.04.2021
-
10.04.2021