Haber Giriş:
Leo Katika Magazeti ya Kimataifa

Mukhtasari wa Magazeti ya Kimataifa 27.01.2021
Le Parisien: Kocha Msaidizi wa Başakşehir Pierre Webo, ambaye alikumbwa na shambulizi la ubaguzi wa rangi katika mechi dhidi ya Paris Saint Germain mwezi uliopita, amelezea masikitiko yake ya kukosa kuungwaji mkono vya kutosha na kocha wa zamani wa PSG Thomas Tuchel.
Le Monde: Covid-19 – EU yaonya watengenezaji wa chanjo kuhusu 'majukumu' yao.
France 24: Covid-19 - Waalimu, wanafunzi na...
-
03.03.2021