Haber Giriş:
Leo Katika Magazeti ya Kimataifa

Mukhtasari wa Magazeti ya Kimataifa 25.01.2021
LeMonde: Mmoja wa watu wanaotafutwa zaidi duniani (Tse Chi Lop) kwa tuhuma za ulanguzi wa madawa ya kulevya huko Asia akamatwa nchini Uholanzi.
France 24: Simu ya kwanza kati ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Rais wa Marekani Joe Biden yafanyika baada ya kuingia madarakani.
Le Soir: Hofu juu ya aina mpya ya virusi vya corona (Covid-19) yatanda katika shule za Ubelgiji.
al-Qud...
-
03.03.2021