Haber Giriş:
Cleveland Cavaliers yaishinda Houston Rockets NBA

Cedi Osman achangia ushindi wa Cleveland Cavaliers dhidi ya Houston Rockets kwenye NBA
Ligi Kuu ya Mpira wa Kikapu Marekani ya NBA iliendelea hapo jana kwa mechi 9 zilizochezwa.
Timu ya Cleveland Cavaliers inayochezewa na Cedi Osman katika ligi kuu ya NBA, ilifanikiwa kuishinda Houston Rockets 112-96 ambapo mchezaji huyo wa kitaifa alichangia pointi 7.
Cedi ambaye alicheza dakika 21 kwenye mechi hiyo, pia alichangia asisti 2 na rebaound 8.
Matokeo kamili ya mechi zote ni...
-
11.04.2021
-
11.04.2021
-
10.04.2021
-
10.04.2021